FAHAMU KUHUSU MKOA WA NJOMBE

 


                           

~Je unajua ndio mkoa unaiongoza kwa baridi kali mno .

~ndio mkoa pekea ambao barafu huanguka katika viunga mbalimbali hasa kwenye mito kuanzaia mwezi 6-9kila mwaka

~Lakini maajabu ya hiyo barafu bwana,ikituwa kwenye mto au kisima  maji hufuka moshi mithili ya moto unatoa moshi wa kuni lakini nje ya mto huwa ni baridi

~Hizo miezi ya baridi kama huna blacket lazima ukanunue na tena mablacketi zaidi 1😀

~Ndio mkoa unaongoza kwa kulima viazi mviringo A.K.A chips..na vinafaida kama ukihudumia vizuri

~kuna vijimito vingi mno,na mabonde mengi ya vyanzo vya maji

~Ndio mkoa unaoongoza kwa kulima parachichi za kisasa ...A.K.A hasi.

~kuna misitu mingi sana iliyopandwa kwa mistari kama vile ..paina ,mikaratusi kwa ajili ya mbao na miwati kwa ajili ya kutengenezea lami ..Tanwati

~sema makambako kuna upepo mkali sana du.

~Je unaijua mbuga ya kitulo makete ambako kuna ndege huwa wanasafili bara hadi bara hasa Australia

~uoto uliopo njombe  ni wa kipekee na mikoa michache ndio unaweza patikana japo kwa  ufinyu sana...Iringa,manyara,mbeya,moshi ,kilimanjaro,Arusha..NB ni kwa sababu hiyo mikoa ina kabaridi kiasi

~kuna aina mbalimbali za viazi mviringo kam,,kadinya,seipi,redi,sangita,asante n.k

~Hii barafu ikitua inaweza unguza ,nyasi hata mazao.

            ltsmemwa.blogspot.com


Comments

Popular posts from this blog

fili nondo

sponsering